Ticker

6/recent/ticker-posts

BOSI WA BAYERN MUNICH, ULI HOENESS AHUKUMIWA KWENDA JELA

 Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA March. 13,2014 SAA 12:0O JIONI
Mahakama ya Ujerumani imemkuta na hatia ya kukwepa kulipa kodi Uli Hoeness ambaye ni Bosi  wa klabu ya Bayern Munich hii
leo siku ya Alhamisi na kumuhukumu bosi huyo wa soka ambaye aliibadilisha Bayern Munich kuwa moja ya klabu yenye mafanikio zaidi dunia,kwa kwenda jela miaka mitatu na nusu.

Hoeness amekubali kukwepa kulipa € 27.2 million katika kodi ya mapato ya chuma katika akaunti ya siri nchini Uswis lakini meneja huyo wa Bayern Munich alikuwa na matumaini ya msamaha kutokana na kesi hiyo ilivyokuwa ikiangaliwa kwa ukaribu ya ukwepaji wa kodi,kutokana na historia ya Ujerumani.

Hoeness, 62, akainamisha kichwa chake kwa kuangalia chini ya ghorofa wakati hukumu hiyo ikitolewa,na uso wake iligeuka na kuwa mwekundu. 

Post a Comment

0 Comments