Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:SIKILIZA WALICHOKISEMA MANISPAA YA ILALA KUHUSU OMBI LA WAZEE WA YANGA KUHUSU UJENZI WA UWANJA

 Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 14,2014 SAA 10:34 ALFAJIRI

Baada ya wazee wa Yanga  kutoa tamko kupitia kwa Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali,ambapo wamesema kuwa kama Uongozi wa manispaa ya Ilala utashindwa kutoa ufafanuzi ndani ya
siku tano juu ya hatma nyongeza ya eneo la ujenzi wa uwanja na kibali cha ujenzi,basi kwa mujibu wa Taarifa yao wanapanga kuomba idhini kwa uongozi ili waweze kuandamana.

Lakini mara baada ya kupata malalamiko hayo,Jamii na Michezo moja kwa moja ikaamua kugonga hodo katika Ofisi za manispaa ya Ilala ili kuweza kujua kulikoni.

Na hapo chini,Bi.Lussi Semindu ambaye ni msemaji wa manispaa ya Ilala anafafanua Uamuzi wao.

Post a Comment

0 Comments