Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 8,2014 SAA 08:16 USIKU
Nyota wa Uholanzi Arjen Robben amesema kuwa anatarajia kutia saini mkataba mpya na klabu ya Bayern
Munich hivi karibuni, na
amekiri kuwa yeye anaangalia maisha yake ya baadaye ya mpira wa miguu.
Robben mkataba wake unamalizika Juni mwaka 2015
na ana matumaini ya kuongeza tena miaka miwili.
Robben anasema anatarajia kutia saini mkataba mpya wakati mchache kutoka sasa ila "maelezo kidogo" yamekuwa yakikamilika.
"pengine yataamuliwa baada ya mazungumzo mengine," Robben aliiambia Bild.
"Lengo ni hilo, kutoka pande zote mbili, kutanua, lakini hakuna tatizo
na mshahara,kwani nimesoma mahali fulani, - huyu ni ng'ombe***".
Robben
imekuwa akitiliwa mashaka kutokana na makali yake katika kazi yake na tangu kujiunga na
Bayern mwaka 2009, amekuwa majeruhi mara 25, lakini bado ameweza kufunga mabao
52, na kusaidia mara 34, katika mechi 92 za Bundeslig,pia aliongoza ushindi katika fainali ya msimu uliopita ya Ligi ya Mabingwa .

0 Comments