Ticker

6/recent/ticker-posts

JE,WAJUA ROONEY ATAKUWA ANALIPWA KIASI GANI CHA FEDHA KWA SEKUNDE? NA KWA DAKIKA JE?...ingia hapa usome

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 22,2014 SAA 09:00 USIKU 

Wayne Rooney alimshukuru David Moyes siku ya Ijumaa usiku kwa kuokoa wasifu wake katika klabu ya  Manchester United baada ya kusaini mpango mpya wa miaka 4 utakaomuwezesha
kusalia Old Trafford hadi 2019,mkataba wenye  thamani ya mshahara wa £ 300,000-wiki.
The man: Rooney's deal will run out in 2019, but he will become a club ambassador when he retires
Yamekamilika:Rooney (katikati) na makamu mwenyekiti mtendaji  Ed Woodward (kushoto) pamoja na meneja David Moyes
Wayne pia anatarajiwa kuwa balozi wa Mancherster United mara tu atakapostaafu kucheza soka.

HORODHA MPYA YA MALIPO YA ROONEY'S KWA KILA KIPINDI

£15,600,000  KWA MWAKA
£300,000       KWA WIKI
£43,000         KWA SIKU
£1,800           KWA SAA 1
£30                KWA DAKIKA
50p                KWA SEKUNDE 


HII NI ORODHA YA WAPACHIKA MABAO WA UNITED WANAONGOZA KWA MUDA WOTE

1. Sir Bobby Charlton (1953-1973) - mabao 249 katika mechi 758
2: Denis Law (1962-1973) - mabao 237 katika mechi 404
3: Jack Rowley (1937-1955) - mabao 211 katika mechi 424
4: Wayne Rooney (2004 - hadi leo) - mabao 208 katika mechi 430
5: George Best (1963-1974) - mabao 179 katika mechi 470

Post a Comment

0 Comments