Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 22,2014 SAA 09:00 USIKU 
Wayne
 Rooney alimshukuru David Moyes siku ya Ijumaa usiku kwa kuokoa wasifu 
wake katika klabu ya  Manchester United baada ya kusaini mpango mpya wa miaka 4 utakaomuwezesha 
kusalia Old Trafford hadi 2019,mkataba wenye  thamani ya mshahara wa £ 300,000-wiki.| Yamekamilika:Rooney (katikati) na makamu mwenyekiti mtendaji Ed Woodward (kushoto) pamoja na meneja David Moyes | 
Wayne pia anatarajiwa kuwa balozi wa Mancherster United mara tu atakapostaafu kucheza soka.
HORODHA MPYA YA MALIPO YA ROONEY'S KWA KILA KIPINDI
£15,600,000  KWA MWAKA
 £300,000       KWA WIKI
£43,000         KWA SIKU
£1,800           KWA SAA 1
£30                KWA DAKIKA
50p                KWA SEKUNDE 
HII NI ORODHA YA WAPACHIKA MABAO WA UNITED WANAONGOZA KWA MUDA WOTE
 1.  Sir Bobby Charlton (1953-1973) - mabao 249 katika mechi 758 
2: Denis Law (1962-1973) - mabao 237 katika mechi 404
3: Jack Rowley (1937-1955) - mabao 211 katika mechi 424
4: Wayne Rooney (2004 - hadi leo) - mabao 208 katika mechi 430
5: George Best (1963-1974) - mabao 179 katika mechi 470
2: Denis Law (1962-1973) - mabao 237 katika mechi 404
3: Jack Rowley (1937-1955) - mabao 211 katika mechi 424
4: Wayne Rooney (2004 - hadi leo) - mabao 208 katika mechi 430
5: George Best (1963-1974) - mabao 179 katika mechi 470

0 Comments