Ticker

6/recent/ticker-posts

SCHALKE O CHELSEA 3:MABAO YA TORRES YAWAPELEKA VIJANA WA MOURINHO JUU YA KUNDI

 IMEWEKWA OKTOBA 23,2013 SAA 9:09 ALFAJIRI

Kwa meneja kuwa na tamaa ya ushindi ni jambo la kawaida ,lakini si ​​kwa Jose Mourinho kwake imepitiliza katika mchezo wa ligi ya
Mabingwa katika ardhi ya Ujerumani, lakini usiku wa jana kulikuwa na mambo mengi ya kufurahia.
Kevin-Prince Boateng akipambano ili kudhibiti mpira kwa Ramires
Ushindi mzuri: Jose Mourinho akiwa na furaha baada ya kazi nzuri  ya mshambuliaji  wa Kihispania
Chelsea walifanikiwa kuibuka na ushindi wa nabao 3 kwa 0,ushindi iliowafanya kuwapindua kwa tofauti ya magoli  Schalke 04 lakini wote wana alama 6 katika msimamo wa kundi E.
Mabao mawili ya Chelsea yaliwekwa nyavuni na Fernando Torres katika dakika ya 5 na 69 pamoja na Eden Hazard 87.
Andre Schurrle akipasua katikati
Torres alifunga bao baada ya dakika tano tu
Kevin-Prince Boateng akikabiliana na John Terry

Kikosi cha Schalke: Hildebrand 6, Uchida 6, Höwedes 6, Matip 6, Aogo 6, Neustadter 7, Jones 6 (Kolasinac 70, 5), Clemens 7, Meyer 6 (Goretzka 79), Draxler 6, Boateng 5 (Szalai 70, 6).
Akiba wasiotumika: Fährmann, Hoogland, Felipe Santana, Fuchs.
Kadi za njano: Jones, Neustadter.
Kocha: Jens Keller 6
Kikosi cha Chelsea: Cech 7, Ivanovic 7, Cahill 6, Terry 7, Azpilicueta 7, Ramires 7, Lampard 7, Schurrle 6 (Mikel 72, 6), Oscar 7 (David Luiz 84), Hazard 6 (Eto'o 88), Torres 8.
Akiba wasiotumika: Schwarzer, Bertrand, Willian, Mata.
Wafungaji: Torres 5, 69, Hazard 87.
Kadi ya njano: Cahill.
KOcha: Jose Mourinho 7
Refa: Viktor Kassai (Hungary).
Walihudhulia: 54,442
Man of the Match: Fernando Torres




Post a Comment

0 Comments