IMEWEKWA OKTOBA 23,2013 SAA 7:19 USIKU
Robert
Lewandowski ameweza kuwafanya mashabiki wa Arsenal duniani kuwa wadogo baada ya kuipatia timu yake ya Dortmund
kumbukumbu nzuri ya ushindi wa 2-1 katika ligi ya Mabingwa jana Jumanne
usiku nakufanya kuongoza katika Kundi F katika mchezo huo uliopingwa katika uwanja wa kwenye Uwanja wa Emirates.![]() |
| Kwenda mbele: Henrikh Mkhitaryan akifunga bao la kwanza kwa upande wa Borussia Dortmund |
Viongozi hao wa
Ligi Kuu ya Barclays pamoja na kupambana kutoka nyuma lakini katika dakika ya 16 Henrikh Mkhitaryan aliweza kuukwamisha mpira wavuni,kisha mchezaji wa Arsenal Olivier Giroud akaweza kuisawazishia timu yake katika dakika ya 41.
![]() |
| Giroud akifunga bao la kwanza |
![]() |
| Sare isiyokuwa na matumaini:Olivier Giroud akishangilia baada ya kuisawazishia Arsenal na kufanya matokeo kuwa 1-1 |
Baada ya mapumziko Arsenal walionekana kuzidi kulishambulia lango la Borussia Dortmund lakini Robert
Lewandowski alipata nafasi katika dakika ya 82 nakuweza kuifungia Dortmund bao la pili na la ushindi.
![]() |
| Ushindi nje ya nyumbani: Lewandowskiakifunga bao la ushindi |
![]() |
| Pigo kuumia: Jack Wilshere akipatiwa matibabu baada ya kuumia |
![]() |
| Wilshere akianngalia nusu ya pili na huku akiwekewa barafu juu ya kifundo cha mguu wake |
Kikosi cha Arsenal: Szczesny,
Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Ramsey (Bendtner 86), Arteta,
Wilshere (Cazorla 58), Ozil, Rosicky (Gnabry 89), Giroud.
Akiba wasiutumika: Fabianski, Vermaelen, Monreal, Jenkinson
Kadi za njano: Rosicky, Ozil.
Mfungaji: Giroud 41.
Kikosi cha Borussia Dortmund:
Weidenfeller, Grosskreutz, Subotic, Hummels, Schmelzer, Bender, Sahin,
Blaszczykowski (Aubameyang 67), Mkhitaryan (Hofmann 66), Reus
(Papastathopoulos 87), Lewandowski.
Akiba wasiotumika: Langerak, Kirch, Schieber, Durm.
Kadi za njano: Hummels,Lewandowski, Bender.
Wafungaji: Mkhitaryan 16, Lewandowski 82.
Walioudhulia: 59,000
Refa: Jonas Eriksson (Sweden)










0 Comments