Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA OKTOBA 23,2013 SAA 12:18 JIONI
Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Nigeria (NFF), Sani Lulu anataka kurudi katika shilikisho hilo la Chini Nigeria.
Lulu
ambaye aliwahi kuwa rais wa NFF kati ya mwaka 2006 na
2010 anaamini uamuzi
wake ni habari nzuri na haja ya kujibu,yaani "mwito na wajibu wa kitaifa."
Julai
4, 2010, Lulu na viongozi wengine wa NFF , Amanze Uchegbulam na Taiwo
Ogunjobi walivuliwa madaraka kutoka nafasi zao katika mkutano wa
tisa wa wanachama wa kamati ya utendaji ya shirikisho soka Abuja.
Na Tisa kati
ya wanachama 13 wa kamati ya utendaji ya FA walikubaliana kumshtaki juu ya "matumizi mabaya ya fedha na uongozi mbaya" na kwa
tishio amedaiwa kupigwa marufuku ya miaka 10 na Fifa juu ya uamuzi wa
serikali wa kuiondoa Nigeria kutoka soka ya mechi za kimataifa.
Lulu hata hivyo anaamini ni wakati wake wa kurudi katika ofisi ya shilikisho la soka la Nigeria.
"Kwa Mara nyingine tena mimi nina wajibu na mwito. Ni mwito wa wajibu wa kitaifa.
Soka ni mchezo ambao mimi nina upendo na shauku juu yake, na mafanikio yangu wakati
mimi nikiwa Rais wa NFF kutoka 2006-2010 kabla ya kuingilia kwa nguvu
ya kuvuliwe madaraka ya kutoka katika ofisi "alisema.
Viongozi wa soka na Wanigeria anadai kuwa wako nyuma yake kama Rais wa NFF.
"Kama
Wanigeria wamebaini michango chanya mimi nilifanya kuelekea mchezo wa
mpira wa miguu nchini, na wanataka mimi kurudi katika nafasi yangu ya
zamani, basi, mimi sina chaguo la kulazimu maombi yao," alisema.

0 Comments