Ticker

6/recent/ticker-posts

CSKA MOSCOW 1MANCHESTER CITY2:AGUERO AMPA MATUMAINI PELLEGRINI

 IMEWEKWA OKTOBA 24,2013 SAA 6:00 USIKU

Sergio Aguero ametikisa nyavu mara mbili chini Urusi na kuifanya Manchester City kuelekea Ligi ya Mabingwa katika hatua ya
mtoano na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya CSKA Moscow.
MuArgentina iliendeleza utajiri wa magoli kwa kufunga mara mbili dakika ya 34 na 42 na kukaa  katika nafasi ya pili katika kundi gumu D  baada ya aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Manchester United Zoran Tosic kufunguliwa bao la kwanza kwa upande wa CSKA Moscow katika dakika ya 32.
Keisuke Honda akimpongeza Tosic baada ya kufunguliwa bao
Licha ya kukabiliana na  kukosoa uwanja wa Khimki ,City walipata nafasi nyingi na kucheza mchezo salama na waliweza kushinda, na Joe Hart kuweza kuokoa mipira ya hatari ya Keisuke Honda.
Timu ya Manuel Pellegrini imesogea na kuwa na alama sita kwa michezo mitatu katika kundi D
Kikosi cha CSKA Moscow: Akinfeev, Nababkin, Vasili Berezutsky (Alexei Berezutsky 6), Ignashevich, Shchennikov, Milanov, Wernbloom, Tosic, Honda, Zuber (Musa 50), Doumbia.
Akiba wasio tumika: Chepchugov, Vasin, Gonzalez, Rahimic, Vitinho.
Mfungaji: Tosic 32.
Kadi za njano: Ignashevich, Wernbloom, Musa.
Kikosi cha Man City: Hart, Zabaleta, Nastasic, Kolarov, Jesus Navas, Fernandinho, Toure, Javi Garcia, Silva (Nasri 79), Aguero (Clichy 89), Negredo (Dzeko 72).
Akiba wasiotumika: Pantilimon, Richards, Lescott, Jovetic.
Mfungaji: Aguero 34, 42.
Kadi ya njano: Toure, Negredo, Zabaleta.
Walohudhulia: 6,000.
Refa: Ovidiu Alin Hategan (Romania).



Post a Comment

0 Comments