Ticker

6/recent/ticker-posts

LIGI YA MABINGWA:BARCELONA WAPATA USHINDI MWEMBAMBA KWA CELTIC WALIOKUWA 10

 Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA OCTOBA 2,2013 SAA 09:26 USIKU
Nahonda wa Celtic  Scott Brown alipewa kadi nyekundu na kufanya timu yake ya Celtic kuweza  kushindwa  dhidi  Barcelona
ambao walipata ushindi  mwembamba wa Ligi ya mabingwa katika  Kundi H ulipigwa katika uwanja wa Celtic Park.

Mafanikio ya  Barcelona yalikuja baada ya kutolewa  Scott Brown kwa kadi nyekundu,na hiyo ni kwa sababu alimsukuma Neymar pamoja na kimpiga teke ( kwa makusudi)

VIDEO YA KADI NYEKUNDU ALIYOPEWA SCOTT BROWN
Neymar alianguka chini baada ya kusumwa na  nahodha wa Celtic Scott Brown
 Wachezaji wa Celtic wakimpinga refa kwa  uamuzi wakumtoa  Brown kwa kadi nyekundu katika dakika ya 59
Bao pekee la Barselona lilipatikana  kwa kichwa kipitia kwa mchezaji  Cesc Fabregas katika dakika ya 76.

VIDEO YA GOLI LA CESC FABREGAS 
 

Lineup, Bookings (7) & Substitutions (6)

Celtic

  • 01 Forster
  • 04 Ambrose
  • 03 Izaguirre Booked
  • 05 van Dijk
  • 23 Lustig Booked (Forrest - 70' )
  • 21 Mulgrew
  • 02 Matthews
  • 08 Brown Dismissed
  • 15 Commons (Pukki - 86' )
  • 09 Samaras Booked
  • 10 Stokes (Kayal - 70' )

Substitutes

  • 18 Rogic
  • 49 Forrest
  • 20 Pukki
  • 33 Kayal
  • 17 Baldé
  • 24 Zaluska
  • 06 Biton

Barcelona

  • 01 Valdés
  • 22 Dani Alves
  • 15 Bartra
  • 21 Adriano
  • 03 Piqué
  • 08 Iniesta (Song - 89' )
  • 16 Busquets Booked
  • 06 Xavi
  • 11 Neymar
  • 04 Fábregas Booked (Tello - 78' )
  • 07 Pedro (Sánchez - 74' Booked )

Substitutes

  • 09 Sánchez
  • 17 Song
  • 12 dos Santos
  • 13 Pinto Colorado
  • 20 Tello
  • 24 Sergi
  • 02 Montoya
Ref: Stéphane Lannoy


Post a Comment

0 Comments