Ticker

6/recent/ticker-posts

KOMBE LA DUNIA 2014 BRAZIL:MAWAZO YA DAVID BECKHAM KWA KIKOSI CHA ENGLAND

IMEWEKWA OKTOBA 31,2013 SAA 07:29 USIKU

David Beckham ana anaamini Uingereza itakuwa na mafanikio makubwa katika Kombe la Dunia nchini Brazil .
Uingereza tayari wamefuzu moja kwa moja kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Poland,mchezo uliopigwa  katika uwanja wa Wembley mapema mwezi huu - na Beckham alivutiwa na vjina hao wa Roy Hodgson ambao wanashika nafasi ya juu katika Kundi H.
Nahodha huyo  wa zamani wa England amecheza katika Kombe la Dunia mara tatu wakati wake akiitumikia kwa muda mrefu timu hiyo kimataifa - na yeye anaamini kikosi kina nguvu ya kutosha kushindana na timu zenye uwezo wa juu nchini Brazil. 
Akizungumza na mwandishi wa habari (chief news reporter), Bryan Swanson, Beckham aliiambia Sky Sports News: "ni nafasi kubwa kwa Roy na timu  kufika Kombe la Dunia kwa sababu itakuja kuwa  Kombe la Dunia maalum  nchini Brazil."
"Nadhani sisi tumepewa baadhi ya wachezaji vijana wenye vipaji vya kweli na nadhani mara moja tumefika uko katika Kombe la Dunia na tuko katika hali ambayo ni maalum kwa  wachezaji na nadhani kitu kitakachotokea, Tumekuwa dhahiri na vipaji, tumekuwa dhahiri  viongozi,Vidole vimefungwa. "alimalizia David Beckham

Post a Comment

0 Comments