Ticker

6/recent/ticker-posts

SHUHUDIA MATOKEO YA MICHEZO YOOOTE,NA JINSI ENGLAND ILIVYOINYANYASA MONTENEGRO KATIKA HARAKATI ZA KUELEKEA BRAZIL MWAKA 2014

 IMEWEKWA OCTOBA 12,2013 SAA 08:20 USIKU
Ulikuwa ni usiku mzuri kwa vijana wa Roy Hodgson,baada ya kutoa kipigo cha nguvu kwa timu ya Montenegro katika mchezo
wao wa kundi H katika harakati za kufuzu kombe la dunia chini Brazil mwaka 2014.
Mashambulizi yalifunguliwa na Wayne Rooney,baada ya kuipatia England bao la kwanza katika dakika ya 48,kabla ya Branko Boskovic wa timu ya Montenegro kujifunga katika dakika ya 62.
Juu kwa juu: Wayne Rooney (No 10) akiifungia  England bao la kwanza karibu kabisa na goli
Bahati mbaya: Branko Boskovic (kushoto)akijifunga mwenyewe na kuiwezesha Uingereza kuongoza kwa  2-0
Baada ya hapo timu ya Montenegro ikacharuka na kupata bao la kufutia machozi kupitia kwa Dejan Damjanovic katika dakika ya 71.Bao la tatu la England liliwekwa nyavuni katika dakika ya 78 na Andros Townsend,Kisha mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge katika dakika ya 90,akaipatia  timu ya England bao la nne,ila ni kwa mkwaju wa penalti uliopingwa kipindi cha lala salama.
Matumaini:Dejan Damjanovic (Kushoto) akiipatia bao la kufutia machozi Montenegro
Zali:Andros Townsend akii fungia  England bao la  tatu katika mechi yake ya kwanza ya kimataifa
Andros Townsend alipiga bao zuri sana
Andros Townsend akifurahia bao lake la kwanza katika mechi yake ya kwanza ya kimataifa
Siku haikumpita: Daniel Sturridge akiipatia England bao la mwisho
Kikosi cha England: Hart 6, Walker 6, Cahill 6, Jagielka 7, Baines 8, Gerrard 6 (Milner 87), Lampard 6 (Carrick 65, 6), Townsend 8 (Wilshere 80), Rooney 7, Welbeck 5, Sturridge 7. Subs: Smalling, Ruddy, Gibbs, Jones, Barkley, Defoe, Lambert, Forster.
Wafungaji : Rooney 48, Boskovic 62 (alijifunga), Townsend 78, Sturridge 90 (pen).
Kadi ya njano: Walker.
Kikosi cha Montenegro: Poleksic 7, Pavicevic 4 (Beciraj 57), Kecojevic 6, Savic 7, Jovanovic 5; Zverotic 5, Drincic 6, Boskovic 6, Volkov 5 (Vukcevic 72, 6); Damjanovic 5, Jovetic 6 (Kazalica 81). Subs: Blazic, Novakovic, Krkotic, Igumanovic, Janjusevic, Kasalica, Vesovic, Dembasic.
Mfungaji: Damjanovic 71
Kadi za njano: Pavicevic, Volkov.
Refa: Alberto Undiano Mallenco (Spain)
Mzuka: Roy Hodgson alionnekana kuduwaa kabla ya mchezo kuanza,lakini ngoma ilivyochanganya,duu!shuhudia vituko vyake ndani ya uwanja wa Wembley
Aaaa! mzee wetu huyo
wacha weee! utamtaka
MATOKEO YA MICHEZO MINGINE


First Round – Group A
Full time
Croatia Belgium
First Round – Group B
Full time
Denmark Italy 
First Round – Group C
Full time
Germany Ireland
Full time
Sweden Austria
First Round – Group D
Full time
Andorra Romania
Full time
Estonia Turkey
First Round – Group E
Full time
Iceland Cyprus
Full time
Slovenia Norway
First Round – Group F
Full time
Portugal Israel
First Round – Group G
Full time
Lithuania
Full time
Greece Slovakia
First Round – Group H
Full time
Ukraine Poland
First Round – Group I
Full time
Spain Belarus
World Cup Qualifying - Conmebol ‎(INT)‎


Full time
Ecuador Uruguay
Full time
Colombia Chile





Post a Comment

0 Comments