Ticker

6/recent/ticker-posts

MARSEILLE 1 ARSENAL 2:RAMSEY ATUPIA KIMOJA,WALCOTT NAYE ASETI MIPAMGO YA KUJINUSURU NA KUNDI LAO LA KIFO

  Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA SEPT 19,2013 SAA 9:00 USIKU
Tiketi ya Arsenal katika mchezo wao wa kwanza hapo  jana wa ligi ya mabingwa ulaya,imewekewa dhamana fulani:  baada ya kupata
ushindi uliotukuka wa mabao 2 kwa 1 wakiwa ugenini dhidi ya timu ya Marseille.
Theo Walcott akiipatia Arsenal bao la kwanza
Walcott akishangilia bao lake
Bao la Theo Walcott ndani ya dakika ya 65 na Aaron Ramsey katikia dakika ya 84 yalitosha kuipa ushindi Arsenal na kuondoka na auheni katika kundi lao  (F) la kifo baada ya hapo jana timu ya Borussia Dortmund kuchapwa mabao 2 kwa 1 na timu ya SSC Napoli.
Zamu yangu:Aaron Ramsey akiipatia Arsenal bao la pili


Bao la kufutia machozi la timu ya Marseille lilifungwa kwa mkwaju wa penalti na Jordan Ayew katika dakika ya 90  ya mchezo huo.

Faraja: Jordan Ayew akiweka mpira wa adhabu  nyavu 

Si mchezo : Mesut Ozil   naye alikuwepo akiisaidia Arsenal

Arsenal waliona wanapaswa kupewa penalti baada ya mguu kutua katika kichwa cha Per Mertesacker

Arsene Wenger  akiwa na kisura cha  furaha
Namba moja: Walcott akisalimia  umati baada ya filimbi ya mwisho kilia





Kikosi cha Marseille: Mandanda, Fanni, N'Koulou, Mendes, Morel, Romao, Imbula (Thauvin 79),  Payet (J.Ayew 72), Valbuena (Khalifa 89), A.Ayew, Gignac
Akiba wasio tumika : Samba, Mendy, Cheyrou, Lemina,
Mfungaji : J.Ayew (90 PEN)
Kikosi cha Arsenal: Szczesny, Gibbs, Koscienly, Mertesacker, Sagna, Flamini (Myaichi 90), Wilshere, Ramsey, Ozil, Walcott (Monreal 77), Giroud
Akiba wasio tumika : Fabianski, Vermaelen, Jenkinson, Hayden, Akpom
Wafungaji: Walcott (65), Ramsey (83)





Post a Comment

0 Comments