Kiungo wa Newcastle Yohan Cabaye alikataa kucheza na timu yake ambayo ilitoka sare ya bila kufungana wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani na timu ya West Ham United siku ya jumamosi kufuatia timu ya Arsenal kuwa tayari kumchukua mchezaji huyo kwa kitita cha £10.
![]() |
| kaweka mgoma baridi,kisa uhamisho wake kwenda Arsenal |
Michezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa pia alikosa mechi ya Jumatatu ambayo Newcastle walipigwa mabao 4 kwa 0 na manchester city na sababu inaelezwa ni baada harakati za Arsenal.
"Ni rahisi sana - tunahitaji kutatua hii hali," alisema Pardew."Tunahitaji kukutana na yeye mwenyewe kwa nafasi yake, kama yeye anakaa, na kama yeye hatakaa tunahitaji kujua usawa mzuri." Kuna haja ya kuwa na biashara kutoka kwetu, kuwa na biashara ni haki kwa Newcastle na mashabiki wetu, kupata nafasi ambayo kweli wanataka kuamini katika timu,haiwezekani kwa klabu kubwa kuwa na wachezaji wengi na kugombana,alisema Pardew.
| Atatua kweli Arsenal? |
Cabaye imecheza mechi 73 katika klabu yake yaNewcastle tangu alipojiunga kutoka Lille Juni 2011.
dirisha la usajili linafungwa siku ya jumatatu ya septemba 2 majira ya saa - 23:00 BST

0 Comments