Ticker

6/recent/ticker-posts

Viongozi Wahakikishe vyama vinakuwa na Ofisi-Baraza la Michezo Tanzania

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 30,2018 SAA 11:05 JIONI

Afisa habari wa BMT Najaha Bakari

Baraza la michezo la tafa BMT limetangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi mkuu wa chama cha mchezo wa Baiskeli nchini CHABATA ambao umepangwa kufanyika Oktoba 06 jijini Dodoma.

Afisa habari wa BMT Najaha Bakari amesema mchakato wa uchaguzi wa CHABATA umeanz rasmi hii leo kwa zoezi la kuchukua fomu kwa wagombea nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho.

BOFYA CHINI KUSIKILIZA

...

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo),na instagram- kihwiliupdates

Post a Comment

0 Comments