Ticker

6/recent/ticker-posts

SAUTI:Aliyemfungia Maisha Wambura azungumza haya matatu 3,Naye Wambura ataja Tatizo

 Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.MARCH.15.2018 SAA 04:38 USIK

Kamati Maadili ya Shirikisho la Soka Nchini (TFF) imemfungia maisha Makamu wa Rais wa shirikisho hilo, Michael Wambura
kutojihusisha na masuala ya soka kwa makosa matatu. 

 Mara baada ya hukumu hiyo,Mwenyekiti wa kamati hiyo ya maadili, Hamidu Mbwezeleni,amezungumza na kueleza mambo matatu ya Kufahamu. 

 Pia Wambura Mwenyewe amezungumza na kueleza Matarajio yake,baada ya maamuzi ya kufungiwa maisha kutangazwa na kamati ya maadili ya TFF. 

BOFYA CHINI KUSIKILIZA

...

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo),na instagram- kihwiliupdates

Post a Comment

0 Comments