Nyota huyo wa tenisi amesema binti yake alizaliwa katika kitengo cha dharura Septemba 1 baada ya kiwango cha mapigo ya moyo wa mtoto huyo Olimpiki kupungua.
Upasuaji uliendelea vizuri, Serena alisema kwenye mahojiano na CNN.com ... "Lakini kile kilichofuata baada ya saa 24 baada ya kujifungua na nilikuwa na siku sita pasipokuwa na uhakika."
Williams anasema alikuwa mvumilivu wa mapafu - ambayo kuna wakati damu inazuia mshipa moja au zaidi katika mapafu yake.
Serena aliwasiliana na wataalam wa matibabu - lakini kukohoa kutokana na ugonjwa huo,kulikuwa kukubwa sana, alihitaji upasuaji mwingine.
"Madaktari walipata kugundua tatizo kubwa, uvimbe wa damu iliyopigwa ulikuwa ndani ya tumbo langu, nilirudi kwenye chumba cha matibabu kwa utaratibu na kutibiwa kwenye mapafu yangu."
Serena hatimaye alirudi nyumbani na kutumia wiki 6 kujiuguza kitandani.
0 Comments