Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 11,2016 SAA 12:51 JIONI
Hii leo Sunderland wamekamilisha kuwasaini wachezaji wawili wa Manchester United Paddy McNair na Donald Love wametoa kiasi
cha £ 5.5m kwa pamoja.
Inafahamika nyota wa kimataifa wa Ireland ya Kaskazini McNair, alikuwa akitumika kwa kiasi kikubwa katikati akiwa na Old Trafford, na imesainiwa hasa kama kiungo wa kati wa Sunderland
Moyes alisema: "Paddy ni kijana, mwenye mbio na ni mchezaji ambaye analeta matokeo wakati wote .Ana uzoefu katika taifa lake la Ireland ya Kaskazini na tunataka kuwaleta wachezaji wengi wa kimataifa katika klabu kama tunaweza..
"Donald amekuja kwa mapendekezo na n i mchezaji mwingine kijana ambapo wote nina matumaini wanaweza kuendeleza na kuboresha kalbu hii wakiwa hapa.
0 Comments