Mara baada ya kucheza mechi yake ya kwanza na Kikosi cha Simba,mchambuliaji mpya wa klabu hiyo Laudit Mavugo,alipata
nafasi ya kuzungumza na Jamii na Michezo katika mahojiano maalum.
nafasi ya kuzungumza na Jamii na Michezo katika mahojiano maalum.
Mavugo ambaye amepewa jina la Mavugoal ni raia wa Burundi alikuwa akiufanya uongozi wa klabu ya Simba uhahe kunasa sahihi yake,alikuwa anakipiga katika kikosi cha Vital’O.
Katika Mazungumzo na mtandao huu,Laudit Mavugo amezungumza matarajio yake akiwa na Simba Sc,pamoja na pale atakapokutana na Yanga Sc katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara.
SIKILIZA HAPA
0 Comments