Wachezaji wa timu ya Azam FC walipofanya 'shopping' ya kununua spea mpya za kupambana na Bidvest Wits,
manunuzi hayo walifanyia katika eneo la kibiashara la Michelangelo Towers Mall nchini hapa Afrika Kusini asubuhi ya leo.Baadhi ya picha zinaonyesha wachezaji wakiwa wameonyesha aina ya viatu walivyonunua kwa ajili ya mchezo huo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika keshokutwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Bidvest Wits kuanzia saa 1.00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
ANGALIA PICHA




















CHANZO:PAGE YA FACEBOOK YA AZAM FC



0 Comments