Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 19,2014 SAA 11:16 ALFAJIRI
Nahodha wa Chelsea John Terry anaamini kwamba Didier Drogba
bado yuko katika kiwango cha juu duniani baada ya kukabiliana na mshambuliaji huyo katika ambao walishindi mabao 2-0 dhidi ya Galatasaray usiku wa kuamkia hii leo.
bado yuko katika kiwango cha juu duniani baada ya kukabiliana na mshambuliaji huyo katika ambao walishindi mabao 2-0 dhidi ya Galatasaray usiku wa kuamkia hii leo.
Drogba alikuwa na ufanisi wa juu katika mchezo huo licha ya kushindwa- na nafasi zikawaangukia Chelsea baada Samuel Eto'o kupachika bao la kwanza mapema tu katika dakika ya 4 na Gary Cahill kupata bao lingine dakika ya 42 na kufanya jumla ya mabao iwe 3-1 na kuifanya Chelsea kutinga katika hatua ya robo fainali ya ligi ya
mabingwa barani Ulaya .
Mshambuliaji wa Ivory Coast ambaye alipachika jumla ya mabao 157 katika miaka yake minane akiichezea na
The Blues kabla ya kuondoka mwaka 2012 baada ya kufunga penalti ya ushindi
katika mchezo wake wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa akiwa hapo, ingawa Jose Mourinho hivi karibuni amefufu uvumi wa kumtaka Drogba kujiunga na klabu hiyo.
Drogba amepokelewa kishujaa kwa kurudi kwake Stamford
Bridge na Terry,Mchezaji mwenzake wa zamani,
hakuweza kusema sana juu ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36 baada ya kutumia
muda wa miaka nane ya pamoja katika timu hiyo.
"Ana nguvu kwa kweli - hata katika mechi ya kwanza, alikuwa na nguvu hivyo hivyo," aliiambia Sky Sports.
"Ikiwa mpira uko mikononi mwa kipa ,hatakama unanguvu, huwezi kuuchukuwa, sidhani kama kuna mtu yeyote bora katika
dunia,ambaye leo amefanya hilo".
"Yeye bado ni tishio kubwa na bado yuko juu, mchezaji wa hali ya juu na nadhani ni bora kwangu mimi na hatimaye ameweza kuonyesha usahihi kwa
mashabiki wa Chelsea usiku wa leo"
"Didi katika vyumba vya kubadilishia nguo ilikuwa anasema 'hello' kwa kila mtu, ni kama mchezaji wa zamani ameungana tena usiku wa leo lakini ameshinda vizuri, kuna baadhi walikuwa nyuso za furaha na sasa sisi tunazingatia mwishoni mwa
wiki."
Ulikuwa ni Ushinda wa moja kwa moja kwa Chelsea ambao sasa wanasubiri
siku ya Ijumaa katika droo ya robo fainali na Terry anafurahishwa na timu yake kwa kiwango walichokionyesha .
.
0 Comments