Ticker

6/recent/ticker-posts

KOMBE LA DUNIA:ALICHOKISEMA DIEGO MARADONA KUHUSU MESSI

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA March. 06,2014 SAA 11:05 JIONI
Lionel Messi hana haja ya kushinda medali ya Kombe la Dunia  inayochukuliwa kama ni kati ya wanasoka bora wakubwa wa muda
wote,Muargentina mwenzake Diego Maradona ndiye aliyesema maneno hayo siku ya Jumanne.

"Messi hana haja ya kushinda Kombe la Dunia ili kuwa mchezaji bora duniani," Maradona, ambaye aliongoza Argentina nchini Mexico mwaka 1986, aliiambia La NACION.

"Kama atafanya (kama atashinda) atakuwa bora kwa Argentina, mashabiki na Lio, lakini (kushinda) Kombe la Dunia au kutoshinda kuchukua mbali yoyote ya mafanikio yake hadi sasa kuwa miongoni mwa kubwa." 

 Washindi hao Mara mbili wa Kombe la Dunia, Argentina walikutana na Romania katika mechi ya kirafiki iliyopigwa huko Bucharest siku ya jana Jumatano na kutoka sare ya bila kufungana,katika mchezo wao ambao wameanza harakati zao za maandalizi kwa ajili ya fainali ya mwaka huu nchini Brazil.

Nahodha huyo wa zamani na kocha, Maradona alisema kila kitu kinaonekana katika sehemu ya Messi kun'gara ingawa kazi ya Argentina itakuwa ngumu kwa waandaaji Brazil, mabingwa watetezi Hispania na German ni miongoni mwa timu ngumu kuzifunga. 

Maradona alisema Messi alikuwa bora katika Kombe la Dunia nchini Afrika Kusini mwaka 2010 licha ya kutofunga bao lolote,na Timu hiyo ya Argentina ikiwa na kocha Maradona, waliopotea kwa mabao 4-0 dhidi ya Ujerumani katika robo fainali. 
 

Post a Comment

0 Comments