Ticker

6/recent/ticker-posts

TAMASHA LA CHRISTIMAS:ROSE MUHANDO ATHIBITISHA KUSHIRIKI,ATOA AHADI YA .....

Na.Ngonise Kahise,IMEWEKWA NOVEMBA 17.2013 SAA 12:03 JIONI
Muimbaji wa nyimbo za injili Rose Muhando amethubitisha
kushiriki katika tamasha la Christimas lilinaloandaliwa na Msama Productions Limited jijini Dar es salaam.
Alex Msama (kulia),akizungumza na waandishi wa habari(awapo pichani)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es saalam Ndugu Alex Msama ambaye ni mmiliki wa Company ya Msama Productions Limited amesema,mwaka huu Msama Production wamejiandaa vya kutosha.
Ya kwanza:Rose Muhando akitaja nyimbo mpya atakazoimba
Naye Rose Muhando ameahidi Kuachia Vibao 3 vipya na ataimba Live bila kutumia CD siku hivyo ya tamasha la pasaka .
Rose Muhando (kushoto)akitoa kionjo cha nyimbo atakayoimba
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika tarehe 25/12/2013 likiwa lina hudhuliwa na waimbaji maarufu wengi wa injili.
Nyimbo mpya za Rose Muhando ambazo ataimba siku hiyo ya tamasha la Christimas  ni (Kwema,pamoja na kamata pindo)   

Post a Comment

0 Comments