Ticker

6/recent/ticker-posts

WEST BROM 1 ARSENAL 1:MVUTA SIGARA WILSHERE AIOKOA ARSENAL,BAADA YA KUTAKA KUKUTWA NA AIBU ILIYOWAKUTA MAN.U

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA OCTOBA 6,2013 SAA 03:06 USIKU
Muhimu: Olivier Giroud akisheherekea bao la kusawazisha la  Wilshere
Jack Wilshere ameiokoa timu ya  Arsenal iliyokuwa inatapatapa mbele ya  West Brom kwa kuweza kuwasawazishia katika dakika
ya  63.
Bao la kwanza:Mchezaji wa  West Brom Claudio Yacob aliiwezesha timu yake kuongoza katika dakika ya 42
Wakati wa kusherehekea: Yacob akipongezwa na wachezaji wenzake Nicolas Anelka na Stephane Sessegnon

The Gunners walikuwa  nyuma baada ya Claudio Yacob kufunga bao la kwanza kwa kichwa katika kipindi cha kwanza ndani ya dakika ya 42 na kuifanya timu ya West Bromwich Albion kuongoza katika mchezo huo, kabla ya Jack Wilshere aliyebambwa wiki iliyopita akivuta sigara nje ya klabu ya usiku mbele ya umma  akiisawazishia Arsenal katika dakika ya 63.
Jack Wilshere akipiga bao zuri la  la kusawazisha katika  nusu ya pili
kusawazisha: Jack Wilshere akisheherekea bao la kusawazisha kwa Arsenal  baada ya West Brom kutangulia kuongoza
Mjerumani  Mesut Ozil teena katika hisia kali ndani ya The Gunners
West BromKIKOSI CHA WEST BROM: (4-4-1-1) Myhill 7, Jones 7, McAuley 7, Olsson 7, Ridgewell 6; Amalfitano 7, (Brunt 89) Mulumbu 9, Yacob 8, Berahino 8; Sessegnon 8; (Morrison 78, 6) Anelka 5. (Long 69, 6)
Akiba: Daniels, Popov, Rosenberg, Lugano.
Mfungaji: Yacob 42
Kadi ya njano: Olsson
Arsenal
KIKOSI CHA ARSENAL: (4-4-1-1) Szczesny 7, Jenkinson 6, Mertesacker 7, Koscielny 6, Gibbs 7; Ramsey 5, (Rosicky 59, 6) Arteta 7, Flamini 7, Wilshere 7; Ozil 6; Giroud 7. (Bendtner 85)
Akiba: Fabianski, Vermaelen, Monreal, Miyaichi, Gnabry.
Kadi za njano: Flamini, Wilshere
Mfungaji: Wilshere 63
Refa: Lee Mason

Post a Comment

0 Comments