Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA OCTOBA 3,2013 SAA 03:26 USIKU
Michuano ya Europa League au Uefa ndogo imeeendelea hii leo na moja ya mchezo uliokuwa ukitupiwa macho ulikuwa ni kati ya Timu
ya Tottenham Hotspur ambayo imeichapa mabao 2 kwa 0 timu ya Anzhi Makhachkala aliyokuwa anaitumikia mchezeji mpya wa
Chelsea Samuel Eto'o, mchezo uliopigwa katika uwanja wa Saturn Stadium,ya Tottenham Hotspur ambayo imeichapa mabao 2 kwa 0 timu ya Anzhi Makhachkala aliyokuwa anaitumikia mchezeji mpya wa
| Jermain Defoe akifunga bao la kwanza katika dakika ya 34 |
Mabao yote mawili ya kikosi hiko kinachoongozwa na kocha Andre Villas-Boaz yalipatikana katika kipindi cha kwanza kupitia kwa mchezaji Jermain Defoe katika dkika ya 34,pamoja na Nacer Chadli katika dakika ya 39.
| Nacer Chadli naye alipatia timu ya Tottenham Hotspur bao la pili katika dakika ya 39. |
| Mashabiki wa kweli: Mashabiki wa Spurs walikuwa sambamba na timu yao nchini Urusi |
Kikosi cha Anzhi: Pomazan, Angbwa (Gadzhibekov 79), Tagirbekov, Adeleye, Ewerton, Jucilei, Ahmedov, Razak, Solomatin, Serderov (Yeschenko 56), Abdulavov (Traore 45).
Akiba wasiotumika : Kerzhakov, Grigalava, Gatagov, Demidov.
Kikosi cha Spurs: Lloris, Walker, Kaboul (Dawson 71), Chiriches, Fryers, Holtby (Eriksen 78), Dembele, Chadli, Sandro, Lamela (Sigurdsson 72), Defoe.
Akiba wasiotumika : Friedel, Soldado, Naughton, Kane.
Wafungaji: Defoe 34, Chadli 39.
Refa: Bulent Yildirim (Turkey)

0 Comments