Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA OCTOBA 1,2013 SAA 06:53 USIKU
Ramires
alifunga mara mbili katika mchezo wa Chelsea walioshinda 4-0 dhidi ya Steaua
Bucharest, mchezo uliokuwa wa Ligi ya
mabingwa wa Kundi E uliopigwa katika uwanja wa National Arena.![]() |
| Fernando Torres akitoka nje baada ya kuumia goti na kumpisha Samuel Eto'o katika dakika ya 11 |
![]() |
| Si siku yako: Mchezaji wa Steaua Bucharest Daniel Georgievski akiweka kiatu vizuri baada ya kujifunga bao mwenyewe |
Mchezaji wa Steaua
Bucharest,Danijel Georgievski alijifunga mwenyewe baada Eto'o kupiga shuti kali lililomfanya kipa kulitema na kwa bahati mbaya Danijel Georgievski akatumbukiza mpira nyavuni.
![]() |
| Ramires aliongoza mauaji usiku wa jana katika ushindi kwa ajili ya Chelsea |
![]() | ||
| Kutia chumvi katika majeraha: Frank Lampard (kushoto) akisherehekea baada ya kuongeza machungu kwa timu ya Steaua Bucharest kwa kufunga bao la 4 |
![]() |
| Danieli Georgievski (kushoto) wa Steaua akipotezwa nje na mchezaji wa Chelsea Andre Schurrle ambaye amekuwa Man of the Match |
Ramires alirudi tena katika dakika ya 55 na kuizawadia timu hiyo inayoongozwa na Jose Mourinho bao la tatu,na Frank Lampard akafunga kitabu cha mabao cha timu ya Chelsea kwa kuiandikia bao la nne katika dakika ya mwisho kabisa ya mchezo huo.
ANGALIA VIDEO YA MAGOLI YOTE
KIKOSI CHA STEAUA: Tatarusanu 5; Georgievski 4 (Varela 71), Szukala 5, Gardos 5, Latovlevici 6; Bouceanu 4, Filip 5; Popa 4 (Kapetanos HT), Stanciu 4, Tanase 5; Piovaccari 5 (Tatu HT).
Wachezaji wa akiba : Nita, Prepelita, Cristea, Neagu.
Kocha : Laurentiu Reghecampf 5.
KIKOSI CHA CHELSEA: Cech 7; Ivanovic 7, Terry 6, Luiz 6, Cole 7; Ramires 8, Lampard 7; Oscar 6 (Azpilicueta 78), Mata 6 (Willian 80), Schurrle 8; Torres (Eto'o 11, 6)
Wachezaji wa akiba: Schwarzer, Mikel, Cahill, Ba.
Kadi za njano: Lampard, Cole
Kocha: Jose Mourinho 7.
Man of the Match: Andre Schurrle






0 Comments