IMEWEKWA OKTOBA 30,2013 SAA 9:10 ALFAJIRI
Klabu ya DR Congo ya TP Mazembe imetangaza kumsaini beki wa Zambia Chongo Kabaso kutoka Konkala Mines Polisi FC.
Beki huyo wa Kushoto
mwenye umri wa miaka 21 alikuwepo
Oktoba 15 katika mchezo wa kirafiki wa Zambia dhidi
ya Brazili mjini Beijing China na alikuwa katika kikosi
cha Chipolopolo kilichoshi COSAFA Senior Challenge Cup mwezi Julai.
"Kuwasili
Chongo Kabaso, nyota itapanda, ni furaha kubwa kwa upande wetu wa klaabu ya TP
Mazembe," alisema Mfaransa Patrice Carteron, kocha wa nne wa mabingwa wa Caf.
Ni
dalili nyingine nzuri ya kuwekeza katika mustakabali wa klabu na
kufanya kuwa moja ya timu bora ya Afrika yenye uwezo wa kushinda Ligi
ya Mabingwa ya Caf ijayo."
Kabaso
inakuwa mchezaji wa saba wa Zambia kusaini Corbeaux baada ya Jonas Sakuwaha, Hichani Himonde, Stopilla Sunzu, Nathan Sinkala, Rainford Kalaba na Given Singuluma. Kutokana.
Mazembe watakutana na Tunisia CF Sfaxien katika fainali ya kombe la Shirikisho, Caf, mwezi ujao.

0 Comments