Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA SEPT 14,2013 SAA 3:00 USIKU
![]() |
Mesut Ozil alicheza mechi yake ya kwanza ya Arsenal baada ya
kuchukuliwa kwa ada ya uhamisho ya £ 42.5million kutoka Real Madrid
|
Kikosi cha Kocha wa timu ya Sunderland Paolo Di Canio leo kilikuwa kikitafuta mpira kwa tochi katika mchezo iliopigwa katika
dimba la timu hiyo Stadium of Light,kwa kushuhudia timu hiyo ikibuluzwa kwa kuchapwa na Arsenal kwa mabao 3 kwa 1.![]() |
| Aaron Ramsey alishinda mara mbili katika dakika ya 67 na dakika ya 76 |
Alikuwa ni Aaron Ramsey aliyeipatia Arsenal mabao 2 katika dakika ya 67 na dakika ya 76 kabla ya kipindi cha kwanza Olivier Giroud kuipatia Arsenal bao la kwanza katika dakika ya 11.
Bao la Sunderland liliwekwa nyavuni na Craig Gardner kwa mkwaji wa penalti.
![]() |
Olivier Giroud (kulia) aliyeiwezesha timu yake kuongoza mbele dhidi ya Sunderlandkabla ya Sunderland kusawazisha
|
![]() |
Craig Gardner akiisawazishia Sunderland kwa mkwaju wa adhabu na kufanya timu hiyo kusawazisha kabla ya arsenal kuwaelemea kwa mashambulizi
|
![]() |
| Craig Gardner akisheherekea mkwaju wa adhabu,baada ya kuisawazishia Sunderland |
![]() |
| Aaron Ramsey akishinda bao lake la pili |
![]() |
| Mesut Ozil (kulia) akifurahia pamoja na Giroud baada ya kucheza mechi yake ya kwanza kwa Arsenal |
![]() |
Siku Mbaya katika ofisi:Bosi wa Sunderland Paolo Di Canio aliketi juu ya bango baada ya kuona hali ni mbaya kwa timu yake
|








0 Comments