Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA SEPT 11,2013 SAA 3:10 USIKU
Wachezaji wawili wa ghali duniani Cristiano Ronaldo na Gareth Bale,wamekutana kwa mara ya kwanza tangu Gareth Bale avunje rekodi ya dunia kwa kusaini Real Madrid kwa kitita cha £ 86millioni.
Wachezaji wawili wa ghali duniani Cristiano Ronaldo na Gareth Bale,wamekutana kwa mara ya kwanza tangu Gareth Bale avunje rekodi ya dunia kwa kusaini Real Madrid kwa kitita cha £ 86millioni.
![]() |
| Kwa pamoja tutaweza:Cristiano Ronaldo inamkaribisha Gareth Bale ndani ya Real Madrid siku ya leo Jumatano |
Wachezaji hao ambao walipoonana walisalimiana kwa kushikana mikono na kupeana salamu,kuashiria kazi ni moja katika msimu
mpya.Cristiano Ronaldo mchezaji wa ghali wa zamani duniani,baada ya kuripoti kuwa katika mafunzo tata na klabu kufuatia mapumziko ya kimataifa.![]() |
| Karibu ndani : Bale na Ronaldo wakitabasamu baada ya wao kufika katika mazoezi ndani ya Real Madrid |
![]() |
![]() |
Timu ikiwa katika majadiliano: Bale (wa tatu kushoto) akisimama nyuma Cristiano Ronaldo wakimsikiliza Carlo Ancelotti
|
![]() |
Msaada katika tuta: Kocha Carlo Ancelotti akizungumza na bale na kumpatia mbinu zake wakati
wa mazoezi
|
Bale ambaye
alicheza dakika 32 na timu yake ya Wales,katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe kombe la dunia dhidi ya Serbia mjini
Cardiff siku ya Jumanne usikuambapo walifungwa bao 3 kwa 0,alirudi mara moja nchini Hispania ili kujiandaa kwa
ajili ya kuanza kama kunauwezekano katika mchezo dhidi ya Villarreal siku ya Jumamosi.






0 Comments