IMEWEKWA SEPT 13,2013 SAA 8:10 USIKU
Kioja kimetokea katika eneo la Kisauni mjini Mombasa, hapo jana wenyeji walipigwa na butwa, ambako msichana mmoja mwenye umri wa miaka 12 anadaiwa kwenda msalani na kujisaidia vyuma kila anapoenda haja kubwa. Msichana huyo amejisaidia mkasi, kisu
na msumari. Wengi walikusanyika kuona vyuma hivyo alivyovitoa tumboni wasielewe mashaka ya binti huyo na wakaazi wa eneo hilo wanahusisha tukio hilo na ushirikina.
Kioja kimetokea katika eneo la Kisauni mjini Mombasa, hapo jana wenyeji walipigwa na butwa, ambako msichana mmoja mwenye umri wa miaka 12 anadaiwa kwenda msalani na kujisaidia vyuma kila anapoenda haja kubwa. Msichana huyo amejisaidia mkasi, kisu
na msumari. Wengi walikusanyika kuona vyuma hivyo alivyovitoa tumboni wasielewe mashaka ya binti huyo na wakaazi wa eneo hilo wanahusisha tukio hilo na ushirikina.
VIDEO HII HAPO CHINI
KUTOKA, K24TV
0 Comments