Saa 7:30 mchana wa jana katika ofisi ya klabu hiyo ya Barca,baada ya kuweka juu kalamu na karatasi na kutia saini ya mkataba wake mpya na klabu yake,Kwa maana hiyo ataitumikia klabu hiyo mpaka 2018.
![]() |
| Tabasamu:Ulaji,ulali,ulaji |
Sergio Busquets ametia saini kwa kipindi kingine cha miaka 5 na klabu yake ya Barcelona, kwa maana hiyo mkataba wake utamalizika mpaka Juni 30, 2018.
![]() |
Sergio Busquets:hapa mabo poa tu,hakuna matata
|


0 Comments