Ticker

6/recent/ticker-posts

Manchester United wanasema hayuko fiti vya kutosha, Uingereza wanasema Wayne Rooney amewasha moto katika mechi dhidi Scotland.

Wayne Rooney hatimaye alipata nafasi ya kuthibitisha kuwa yuko fiti,na kuizima kauli ya  Manchester United,kuwa hayuko fiti.
 mshambuliaji huyo alicheza kwa dakika 66 katika mchezo ambao England walishinda 3-2 dhidi ya Scotland katika uwanja wa  Wembley siku ya Jumatano. 
Rooney  imeripotiwa ana nia ya kuondoka Old Trafford na kujiunga na Chelsea na alikosa katika kampeni ya klabu yake ya kujiandaa na msimu mpya, hivyo kuzua uvumi kuwa meneja wa United  David Moyes ambaye pia waliwai kukorofishana siku za nyuma,kaamua kumpotezea,na Rooney asijue msimamo wake.

                                Mtu Muhimu : Wayne Rooney akicheza katika uwanja waWembley
Moyes alisema rooney kaumia bega,na ndio maana hakucheza katika mechi ambayo  United walishinda 2-0 dhidi ya Wigan katika ngao ya jamii siku ya Jumapili, lakini kocha wa timu ya England  Roy Hodgson alimuona Rooney ilikuwa katika hali nzuri,na kumpanga kuanza katika mechi ya kirafiki.
Rooney ilionyesha mengi ya kuasharia ya  kuwa taharifa za kuwa hakuwa fit si za kweli, lakini bega lake lilikuwa likiangaliwa sana kama litamsumbua kama alivyosemekana.
Moyes, alikuwa anafanya kazi ya uchambuzi katika  televisheni, alisema alikuwa na furaha baada ya kumuona mshambuliaji wake amerudi katika katika kasi yake ya zamani.
Kila mtu anapenda kumuona Wayne Rooney anacheza vizuri," Moyes aliiambia ITV. "

                        Uchambuzi:kocha David Muyes alikuwa anachambua mpira wa England na Scotland                                  
" kabla ya msimu, nimepata  wachezaji ambao wako fit, hivyo ni pamoja na  yeye nimepata kumuona yuko vizuri kidogo  usiku wa leo "alisema Moyes
Na kocha Roy Hodgson alisema kuwa "Tumekuwa katika mawasiliana mara kwa mara na Manchester United na walikuwa na furaha kwa Wayne Rooney kucheza, lakini sisi  tuka ahidi kuwa makini naye," alisema Hodgson.
Uso wa Furaha :  Rooney na Tom Cleverley wakisheherekea  baada Theo Walcott kuipatia England bao la 1

                                        kudhibiti: Rooney alikuwa huwezi kupita katika eneo lake
                                     Stahimilivu:hatakama alikuwa anaumwa bega.

                                       Hisia:Kocha Roy Hodgson akimueleza kitu Rooney baada ya kutoka


                                                    Macho juu :  Rooney na mpira tu.
Kutokana na kuonyesha kuwa vibaya katika mazoezi , mara nyingi kucheza kwa uvivu wakati anarudi baada ya  kuumia mara ya kwanza, ilakuwa ni vigumu kujua kuwa yuko fit na hatma ya kesi hiyo. 
Katika mchezo wa jana Rooney alionyesha mchango mkubwa,lakini alitoka na katika dk.67 na nafasi yake akachukuliwa na .Rickie Lambert,ambaye ndiye aliyo inyanyua Manchester United,baada ya kufunga bao la ushindi katika dk.70
                         Kumaliza mapema: Rooney nafasi yake ilichukuliwa na Rickie Lambert katika dakika ya 67
Scotland ndio walio tangulia kushinda bao la kwanza kupitia kwa James Morrison dk.11,kabla ya Thei Walcott kusawazisha katika dk.29,
Kisha mchezaji wa Scotland Kenny Miller kuwapatia bao la pili na la mwisho timu yake,baada ya hapo timu ya England ikaonyesha mashambulizi,kwani Danny Welbeck ali funga bao la pili,kisha akitokea benchi kuchukua nafasi ya Rooney,Rickie Lamber,akaipatia bao la ushindi England katika dk.70.

Lineup, Bookings (4) & Substitutions (11)


England

  • 01 Hart
  • 02 Walker Booked
  • 03 Baines
  • 05 Cahill
  • 06 Jagielka (Jones - 84' )
  • 04 Gerrard (Oxlade-Chamberlain - 62' )
  • 07 Walcott Booked (Zaha - 75' )
  • 08 Wilshere (Lampard - 46' Booked )
  • 11 Cleverley (Milner - 67' )
  • 09 Welbeck
  • 10 Rooney (Lambert - 67' )

Substitutes

  • 13 Foster
  • 23 Ruddy
  • 12 Johnson
  • 14 Cole
  • 15 Jones
  • 16 Smalling
  • 17 Milner
  • 18 Lampard
  • 21 Oxlade-Chamberlain
  • 19 Defoe
  • 20 Lambert
  • 22 Zaha

Scotland

  • 01 McGregor
  • 02 Hutton
  • 03 Whittaker
  • 04 Martin
  • 05 G Hanley
  • 06 Maloney (Naismith - 86' )
  • 07 Morrison (Rhodes - 82' )
  • 08 Brown
  • 10 Snodgrass Booked (Conway - 66' )
  • 11 Forrest (Mulgrew - 67' )
  • 09 Miller (Griffiths - 73' )

Substitutes

  • 12 Gilks
  • 21 Marshall
  • 17 Webster
  • 19 Mulgrew
  • 27 Greer
  • 28 Hammell
  • 13 McArthur
  • 15 Burke
  • 16 Adam
  • 20 Bannan
  • 23 Mackay-Steven
  • 24 Dorrans
  • 25 Conway
  • 14 Naismith
  • 18 Rhodes
  • 22 Griffiths
  • 26 Boyd


Takwimu ya Mechi

Possession42%58%90minsEnglandScotland

Post a Comment

0 Comments