![]() |
| Picha ya mnato:Arteta atakosa baadhi ya mechi za ligi kuu na ligi ya mabingwa. |
Ina aminika kwamba, kwa utaratubu mala baada ya kupata matatizo lazima atakaa nje kwa wiki chache ili kuweza kupata matatibabu.
Lakini jambo hilo linatia uchungu kwa Arsenal, kwa sababu ina maana kiungo huyo anauwezekano wa kukosa zaidi ya mwezi mzima wa msimu mpya.
Arteta atakosa mechi muhimu ya kufuzu ligi ya mabingwa dhidi ya Fenerbahce
na vile vile katika baadhi mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu.
![]() |
| Biashara matangazo:Arteta pia anapiga picha kwa ajili ya matangaza ya video za klabu ya Arsenal |
Kuumia Mguu kwa kipindi hiki kwa Arteta ni tatizo kubwa kwa Wenger, ambaye tayari amewakosa Thomas Vermaelen, Nacho Monreal na Abou Diaby.
Aidha,
Bacary Sagna inakabiliwa na muda ili kuwa fiti katika ufunguzi wa
msimu dhidi ya Aston Villa Jumamosi, baada ya kuendelea kuunguza kifundo
cha mguu,baada ya kuumia wakati akitimiza majukumu yake ya kitaifa na timu yake ya Ufaransa.



0 Comments