Meneja wa timu ya Manchester United  David Moyes amesema ratiba ya  mechi za kwanza alizopangiwa  kuanza klabu yake katika msimu mpya wa ligi kuu ni  "ngumu kuamini".
 Kocha huyo aliyelisi mikoba ya Sir Alex Ferguson,amesema ni vigumu kuamini kama kweli hiyo njia iliyotumika kupanga ratiba ni sahihi na inatoka ndani ya bodi.
"Nathani hii ni mchezo migumu ya kwanza kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 20 ya Manchester United"alisema  David Moyes.
Moyes:Ratiba ngumu mnooo!
 
 Lakini bodi ya ligi kuu imemjibu kocha huyo kwa kumwambia  kuwa ,mchakato wote ulikwenda sahii na David Moyes akubaliane na ratiba iliyotolewa.
 Manchester United wataanza kampeni yao ya  Ligi Kuu na mchezo dhidi ya  Swansea, kabla ya kukabiliana na Chelsea,kisha  Liverpool,na timu iliyopanda daraja ya Crystal Palace,na mechi nyingine watacheza na Manchester City.