Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:YANGA KULETA WAKIMATAIFA BAADA YA BUSUNGU,SIMBA NA MESSI JE!,VIPI KUHUSU KOCHA WA MPYA ?...#SIKILIZA HABARI ZA MICHEZO(AUDIO)

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 2,2015 SAA 03:00 USIKU

Sikiliza taarifa za kimichezo kwa njia ya sauti na Herman Kihwili akitangaza taarifa muhimu za siku,utasikia taarifa zifuatazo,


1.Simba wako katika mchakato wa kumtafuta kocha Mpya lakini pia wataja rasmi wachezaji waliowasajili.

2.Simba pia wametoa neno kwa mchezaji wao Ramadhani Singano "Messi"

3.Yanga baada ya Kusajili wa wachezaji wa ndani ,sasa nguvu waweka katika usajili wa wachezaji wa kimataifa.

4.Ni katika Anga la kimataifa na sakata la rushwa katika shirikisho la soka Duniani FIFA.

SIKILIZA HAPO CHINI
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments